Mtindo wa kupanda maua kwenye viatu Kenya
Mtindo wa kupanda maua kwenye viatu
Mjasiriamali raia wa Kenya Wanjiru Waweru-Waithaka ameamua kupanda mimea ya maua katika viatu vya plastiki vikuu kuu.
Mwandishi wa BBC Taurai Munda alipiga picha hizi alipozuru Kenya.
Anasema mimea ya maua inayopandwa kwenye viatu vya plastiki vikuu huwafanya wateja wanaotembelea biashara yake ya kuuza vitanda vya watoto, katika mji wa Kikuyu nje ya jiji la Nairobi watabasamu.
No comments